Page 16 - grade4flip
P. 16

TENDER CARE JUNIOR ACADEMY LTD


                            P.O BOX. 70-00515, NAIROBI, TELEPHONE 020-2352013/020-8075024, 0101959093
                                               Email:info@tendercarejunioracademy.com
                                        Website: www.tendercarejunioracademy.com



                                                   GREDI YA NNE


               KAZI YA LIKIZO YA APRILI

               Juma la kwanza . (siku ya Jumatano)

               MSAMIATI WA MAVAZI


                   1.  Chora mavazi manne  yanayovaliwa na watu hawa:
                       (a) Wanawake
                       (b) Wanaume
                   2.  Andika mavazi mawili yanayovaliwa miguuni
                   3.  Ni vazi lipi ambalo huvaliwa shingoni?
                   4.  Taja mavazi mawili yanayovaliwa na wanawake pamoja na wanaume

               Juma la pili (siku ya Jumatano)

               KUSOMA UFAHAMU( UMUHIMU WA AFYA BORA)

               Soma ufahamu katika kitabu cha kielekezi ukurasa. wa 160-161 kisha  ujibu maswali ya
               ufahamu zoezi la 1

               Juma la tatu ( siku ya Jumatano)


               KUANDIKA

               Andika insha kuhusu umuhimu wa miti

               Vidokezo


                     Makao ya wanyama
                     Kutengenza makao ya binadamu
                     Kuvuta hewa safi
                     Hutumika kama dawa
                     Kutengeneza samani/fanicha
                   


               Juma la nne (siku ya Jumatano)

               SARUFI
   11   12   13   14   15   16   17   18   19   20   21